Kwa maudhui

Hapa kuna maelezo mafupi ya maneno muhimu ya kisarufi yaliyotumika katika sarufi hii. Maelezo yaliandaliwa kutoka kwa mtazamo wa sarufi ya Kiesperanto. Katika sarufi zingine (kuhusu lugha ya Kiesperanto au lugha nyingine) maneno hayo yanaweza kutumika kwa njia nyingine. Maneno yanayo elezwa kwenye sarufi ya lernu! yanafuata matumizi ya PAG[4} ya Kalocsay na Waringhien.

adjektivo (kivumishi)
Neno linaloelezea jina au kaneno kametumiwa kama jina.
adjekto (adjunct)
Sehemu ya sentensi kinacho zungumziya kwa namna gani, mahali gani, lini, ni chombo gani nk (au hali) tukio limetokeya? Kila sehemu ya sentensi isipokuwa kinachoongelewa , somo , kitu na kujifanya , ni karibu.
adverbo (kielezi)
Neno ambalo linaelezea kitu ambacho sio jina au kaneno kametumika kama jina( kitenzi , kivumishi , kaneno kametumika kama kivumishi, kielezi kingine, kaneno ambako kametumika kama kielezi, au sentensi nzima.
afikso (viambishi)
Mizizi, ambayo hutumiwa hasa kuunda maneno yalio unganishwa: kiambishi tama au kiambishi awali.
afrikato (affricate)
konsonanti zinazo tamkwa kwa kizuia pumzi akisha kuziacha ili pumzi itoke na pawe sauti.
aktivo (kauli ya kutenda)
Sentensi ya kawaida ambayo kiima kinatenda tendo . Angalia tendewa.
akuzativo (accusative)
Maana iyo sauti ya mwisho -N
apozicio (kielezi cha jina)
Neno ambalo (kwa kawaida) linakuja numa ya lingine neno kwa kunyesha hicho hicho kwa tumiya maneno mengine.
epiteto (chagizo)
Kivumishi , kaneno ambako kametumika kama kivumishi, kielezi au neno limetumika kama kielezi ambacho kinaelezea neno jingine.
finitivo (Infinitive)
Mfumo wa kitenzi ambao Unaweza kutumika kama prediketo.
frikativo (Frikative)
Konsontanti zinapotamkwa, hewa huzuiliwa katika ala za matamshi ( ulimi na midomo) na panatoka sauti ya mkwaruzo.
futuro (Wakati ujao)
Muundo wa vitenzi ambavyo huonyesha vitendo au kuelezea wakati ujao.
imperativo (Imperative)
Hali-tumizi ambayo huonyesha amri (moja ya matumizi yahiari klatika Kiesperanto.
indikativo (Indicative)
Kitenzi kieleziambacho huonyesha kitendo na kuelezea hali ya kawaida.
infinitivo (infinitive)
Kitenzihali-tumizi ambayo iko neutral kwa kitendo au hali bila kuonyesha kama ni hakika au maoni.
interjekcio (Kihisishi)
chembe hutumika kama mshangao.
kondicionalo (a- masharti)
Mfumo wa kitenzi ambao huonyesha vitendo au hali isiyo ya kweli au ya kufikiria.
konjunkcio (kiunganishi)
kaneno ambako huashilia maneno ya sentensi yenye shina moja katika sentensi.
konsonanto (irabu)
Sauti inayofanywa kwa kuzuia pumzi.
lateralo (upande)
Konsonantihufanywa kwa kuzuia tu katikati ya kinywa. Pumzi inapita kwa uhuru pande za ulimi.
modo (hali-tumizi)
Moja ya makundi ya muundo wa vitenzi , ambao huonyesha mtazamo tofauti wa msemaji kwa kauli. Hali-tumizi ya vitenzi katika Kiesperanto ni infinitive , indicative, hiari na masharti .
nazalo (Pua)
Konsonanti zinazozalishwa na uzuiaji kamili katika kinywa. Roho huenda badala yake kupitia puani.
negacio (Ukanushi)
Maneno ya kukanusha
netransitiva (intransitive)
(kuhusu kitenzihakiwezi kuchukuashamrisho
nominativo (nomino)
Nomino/jina au neno limetumika kama nomino, ambalo halina (kiashiria au mwisho wa accusative).
numeralo (Nambari)
Neno ambalo linaonyesha nambari.
objekto (shamrisho)
Kazi ya sentensi ambayo inaonyesha kile kinachoathiriwa moja kwa moja na tendo la prediketo . Wakati mwingine tunasema "shamrisho kipozo" tofauti na "shamrisho kitondo". Katika sarufi hii "shamrisho kitondo" inaitwa al - adjekto . Shamrisho (kipozo) ya kawaida inaitwa pia kama "accusative shamrisho." Shamrisho kitondo inaitwa pia tangu zamani "dative shamrisho".
participo (participle)
Neno linalo wakilisha kitendo au kuelezea hali yakiima au shamrisho.
pasivo (Kauli ya kutendewa)
Aina ya "kinyume" ambayo mfumo wa sentensi ambayo kwenye kauli ya kutenda shamrisho inageuka kuwa kiima.
plozivo (Lipuo)
Konsonantiinayotamkwa kwa uzuiaji kamili ambao unabana kwa kusukuma pumzi.
pluralo (Wingi)
Nambari nyingi za kisarufi: zaidi ya moja.
predikativo (prediketo)
sentensi ya uhuru ambayo huelezeakituaukitukwamaana yakitenzi.
predikato (tafsiri)
Kitenzi kikuu cha jukumu. kitenzi kilicho na somo .
prefikso (Kiambishi awali)
kiambishiambacho wanaweka mbele ya mizizi.
prepozicio (kihusishi)
neno ambalo huonyesha umuhimu wa sentensi ya kifungu kinachofuata.
preterito (Wakati uliopita)
muundo wa kitenzi ambao huelezea kitendo au hali ya wakati uliopita.
prezenco (Wakati uliopo)
muundo wa kitenzi ambao huelezea kitendo au hali ya wakati uliopo.
pronomo (Kiwakilishi)
nenoambalo hutumika kwa kusimama badala ya jina/nomino.
singularo (Umoja)
Muundo wa umoja wa Sarufi.
subjekto (kiima)
Ni neno ambalo (kwenye sentensi ya kauli ya kutenda) linaonyesha nani au ni nini anafanya kitendo la prediketo .
subjunkcio (kiunganishi)
Neno ) linalounganisha kifungu kidogo na kifungu kikuu
substantivo (Jina/Nomino)
Neno ambalo linaloweza kufanya kazi kama neno kuu la kifungu kikuu kiima, shamrisho, kihisishi, shamrisho ala kitumizi , wasifu, nyongezo, au predictive.
sufikso (Kiambishi tamati)
kiambishiambacho huchukua nafasi mwisho wa mizizi.
suplemento (nyongezo)
Maelezo ya moja kwa moja (ya neno ambalo sio kitenzi), uhusiano wake wa neno lililoelezwa linaonyeshwa na kiashiria cha jukumu ( kihusishi au mwisho wa accusative .
transitiva (transitive)
kitenzikinacho weza kuwa na shamrisho.
verbo (Kitenzi)
Neno ambalo linaonyesha tendo au hali, na ambalo linaweza kutumika kama prediketo ya sentensi. Pamoja na dhana ya kitenzi unangoja infinitive ingawa kitenzi kama hicho haiwezi kukaa kama prediketo.
vibranto (kinachotetemeka)
konsonanti zinazotamkwa na mfululizo wa kubana na kuacha pumzi.
vokalo (irabu)
Sauti inayotamkwa bila kuzuia pumzi, na ambayo inaweza kuchukua accent.
vokativo (vocative)
Neno linaloonyesha nani anaambiwa (mwenye anaelekezwaeko maneno).
volitivo (hiari)
Mfumo wa kitenzi ambao huonyesha kitendo kile ambacho sio kamili ila kinatakwa.
vorteto (kaneno)
Neno ambalo haliitaji kuwa na mwisho lakini ambalo huweza kuwa kwenye sentensi za namna izo jinsi ilivyo.
Kurudi juu